AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Rafiki yangu @jmakamba karibu tena Backbench tuendelee na kazi. Ulikuwa Mbunge bora sana back bench 2010-2012 na ninaamini itakuwa hivyo tena 2019-2020. Umekuwa mmoja wa Mawaziri bora kabisa ambao umeonyesha tofauti ya KUTAWALA na KUONGOZA. Namna ulivyoongoza marufukuya mifuko ya Plastiki ilionyesha falsafa yako ya uongozi ni tofauti sana na falsafa ya Serikali yenu ya CCM. Tuna kesho nyingi tupambane kuijenga Tanzania inayojali watu wake na ya kidemokrasia."Zitto Kabwe
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK