Babu Mwenye Wake Watatu Afia Guest Akiwa Namchepuko, Wake Zake Wafunguka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Babu Mwenye Wake Watatu Afia Guest Akiwa Namchepuko, Wake Zake Wafunguka
Mkazi mmoja wa Geita Salumu Bashite anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 65 amefariki Dunia katika mazingira ya kutatanisha baada ya presha kumpanda akiwa chumba  cha kulala wageni akiwa na kademu (Hawara) yake licha ya kuwa na wake watatu.

Tukio hilo la aina yake limetokea juzi majira ya Saa moja  za jioni katika nyumba ya kulala wageni inayojulikana  kwa jina la Mayunga Guest House,  iliyopo Mtaa wa Nyantorotoro Nyankumbu ambapo Mzee huyo aliingia na mwanamke mrembo kwa lengo la kupumzika kwa muda maarufu kama short time.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad