AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hazard anapewa jezi namba 7 ambayo ilikuwa ikitumiwa na Cristiano Ronaldo aliyepo Juventus kwa sasa na Raul Gonzalez enzi anacheza timu hiyo, baada ya kuondoka Ronaldo jezi namba saba ndani ya Real Madrid alipewa Mariano Diaz.
Hata hivyo baadhi ya mashabiki katika mtandao wa twitter hawakubaliani na kupewa jezi namba saba kwa Eden Hazard kwani atakuwa analinganishwa na Cristiano Ronaldo, kitu ambacho anaweza kushindwa kufikia kiwango au makubwa ya Ronaldo yaliofanywa katika timu hiyo, katika michezo ya maandalizi ya msimu Hazard alikuwa akivaa jezi namba 50.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK