Hatimae Real Madrid Imeamua Kumpa Hazard Jezi ya Ronaldo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hatimae Real Madrid Imeamua Kumpa Hazard Jezi ya Ronaldo
Staa mpya wa club ya Real Madrid ya Hispainia Eden Hazard aliyejiunga na timu hiyo akitokea Chelsea ya England, hatimae amekabidhiwa jezi namba 7 ndani ya club ya Real Madrid baada ya ombi lake kwa Luka Modric kuomba amuachie jezi namba 10 kugonga mwamba.

Hazard anapewa jezi namba 7 ambayo ilikuwa ikitumiwa na Cristiano Ronaldo aliyepo Juventus kwa sasa na Raul Gonzalez enzi anacheza timu hiyo, baada ya kuondoka Ronaldo jezi namba saba ndani ya Real Madrid alipewa Mariano Diaz.

Hata hivyo baadhi ya mashabiki katika mtandao wa twitter hawakubaliani na kupewa jezi namba saba kwa Eden Hazard kwani atakuwa analinganishwa na Cristiano Ronaldo, kitu ambacho anaweza kushindwa kufikia kiwango au makubwa ya Ronaldo yaliofanywa katika timu hiyo, katika michezo ya maandalizi ya msimu Hazard alikuwa akivaa jezi namba 50.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad