Breaking News: Lori la Mafuta Lalipuka, Laua Mamia Moro

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Habari zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa, lori la mafuta limelipuka asubuhi hii Agosti 10, maeneo ya Msamvu mkoani Morogoro na kuua idadi kubwa ya watu ambayo bado haijafahamika.

Mashuhuda wa tukio hilo wamesema kuwa lori la mafuta (petroli) lilipinduka, hivyo watu mbalimbali, wengi wao wakiwa madereva wa pikipiki wakaenda eneo la tukio na vibebeo kwa lengo la kupata mafuta.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad