Hatimaye Dudu Baya Ajisalimisha Kanisani na Kuokoa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii wa muziki wa Hip Hop Dudubaya aka Mamba Konk Konk Konk Master Oil Chafu leo hii Jumapili ya August 25,2019 ameokoka na kufanyiwa ibada ya maombi na Mtume Boniface Mwamposa 'Buldoza' wa Kanisa la Inuka Uangaze lililopo Kawe jijini Dar es Salaam.

Msanii huyo maarufu nchini Tanzania Godfrey Tumaini, maarufu kwa jina la kisanii kama Dudu Baya, Leo Jumapili ametangaza kuokoka rasmi na kujiunga na kanisa la Boniface Mwamposa.

Godfrey Tumaini ametangaza hilo leo hii Jumapili tarehe 25 August 2019 katika viwanja vya Tanganyika Packers vilivyopo eneo la Kawe.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad