Huawei Yaendelea Kufanya Vizuri Sokoni Licha ya Vitisho Kutoka Marekani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Huawei Yaendelea Kufanya Vizuri Sokoni Licha ya Vitisho Kutoka Marekani
Kampuni ya Huawei imesalia kuwa muuzaji namba mbili wa simu kote duniani katika robo ya pili ya mwaka 2019 licha ya vitisho vya vikwazo kutoka Marekani.

Shirika la Strategy Analytics kwenye tathmini yake limesema Huawei imefanikiwa kuongeza mauzo yake licha ya kuwa na mdororo wa soko la simu kote duniani.

Kulingana na Strategy Analytics, mauzo ya simu kote duniani yalipungua kwa asilimia 2.6 huku simu milioni 341 zikiuzwa kati ya Aprili na Juni mwaka huu.

Samsung ya Korea Kusini ambayo inaongoza kwa mauzo ilikuwa na ongezeko la asilimia 22 huku nayo Huawei ikiwa na mauzo ya asilimia 17 nayo Apple ya Marekani ikiwa na asilimia 11.

Na kulingana na tathimni ya shirika la Counterpoint, kwa jumla mauzo ya simu kutoka China kwa kampuni Huawei, Oppo, Vivo, Xiaomi, na Realme yalifikia asilimia 42.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad