Jike Shupa ''Mi Siyo Sistaduu Nanyonyesha Mwanzo Mwisho''

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jike Shupa ''Mi Siyo Sistaduu Nanyonyesha Mwanzo Mwisho''
MUUZA nyago kwenye video za wanamuziki mbalimbali Bongo, Zena Abdallah ‘Jike Shupa’ amefunguka kuwa atamnyonyesha mwanaye hadi mwisho kwani yeye siyo sistaduu.


Akichonga na Shusha Pumzi, Jike Shupa alisema kulikuwa na maneno mengi yaliyokuwa yakisemwa alipokuwa mjamzito kuwa hataweza kulea mtoto atakayemzaa, lakini sasa anafanya hivyo.

“Nataka kuwaonesha niko tofauti kabisa na wanavyonifikiria. Kwanza ninamnyonyesha mtoto wangu na nitamnyonyesha hadi mwenyewe asema mama inatosha, acha niende shule,” alisema Jike Shupa ambaye alijifungua mtoto wa kike hivi karibuni.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad