AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kocha wa zamani wa Barcelona na timu ya Taifa ya Hispania Luis Enrique amefiwa na mwanae wa kike Xana Enrique akiwa na umri wa miaka tisa baada ya kuugua ugonjwa wa kansa ya mifupa kwa muda wa miezi mitano.
Mwezi Juni mwaka huu, Luis Enrique aliiacha kazi ya kuifundisha timu ya Taifa ya Hispania ili kupata muda wa kumuuguza mtoto wake.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK