Mama Dangote 'Mahaba Yameanza Kwa Watu Wazima Nyie Watoto Kazi Yenu Kuiga tu...Hivyo Msinishangae"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mama Dangote amewafumua wale wote ambao hawaishi kumsema kwenye mitandao kuwa anapost picha za mahaba yeye na mume wake, licha ya kuwa ni mtu mzima.

Kwenye moja ya Interview Mama Dangote aliulizwa kuwa ana kipi cha kusema kwa wale waosema unapost picha za mahaba na mumeo aliyakuwa nyie ni watu wazima.

"Wanaosema nawashanga kwani kama mahaba si yameanzia kwa wakubwa watoto kazi yao kuiga tu kwahiyo watuache"
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad