AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Gharama za kupata chakula cha usiku na askofu wa marekani TD Jakes zawa gumzo Kenya. Askofu huyo ambaye jina lake halisi ni Thomas Dexter Jakes atakua katika mkutano mkuu wa viongozi na wafanyabiashara utakaofanyika eneo la Kasarani jijini Nairobi mwezi ujao.
Ili kuingia eneo hilo utapaswa kulipia kiasi cha Dola 750 za kimarekani sawa na elfu sabini na tano za kenya ili tu waweze kuwa eneo moja na Askofu huyo.
Hata hivyo limeibuka gumzo mtandaoni kuhusu watu kulipa pesa ili kupata mlo na mchungaji huyo mwenye umaarufu mkubwa duniani. “Mchungaji abaki kuwa mchungaji jamani”, pesa yote hiyo kulikoni? moja ya maoni mtandaoni.
Chanzo BBC.
By Ally Juma.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK