Robert Mugabe aendelea kupatiwa matibabu kwa miezi mitatu sasa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Imeelezwa kwamba Rais wa zamani wa Zimbabwe, Robert Gabriel Mugabe, 95 amekua akipatiwa matibabu nchini Singapore kwa zaidi ya miezi mitatu huku hali yake ikielezwa kuendelea kuimarika.

Taarifa ya Rais Emmerson Mnangagwa haikubainisha ni nini hasa Mzee Mugabe amekua akitibiwa ughaibuni licha ya fununu za kuandamwa na magonjwa ya uzeeni.

Mugabe alitawala nchi hiyo tangu uhuru wake mwaka 1980 hadi alipopewa shinikizo la kujiuzulu na jeshi la ukombozi la nchi yake mwaka 2017.

Imeelezwa kwamba umekua ni utaratibu wa kawaida kwa kiongozi huyo wa zamani aliojiwekea wa kupatiwa matibabu nchini Singapore kwa zaidi ya miaka 10.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad