Sheikh Mkuu Atangaza Sikukuu ya Idd

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir Bin Ally ametangaza kuwa sikukuu ya Idd El-Adh'haa itakuwa siku ya Jumatatu, Agosti 12, 2019.


Swala ya Eid kitaifa itaswaliwa katika viwanja vya Masjid Kibadeni, eneo la Chanika Zogowali, Ilala Jijini Dar es Salaam.

Aidha, Baraza la Eid hapohapo katika viwanja vya Masjid Kibadeni mara baada ya swala kumalizika. Sheikh Mkuu anawatakia Waislamu na Watanzania wote sikukuu njema na anawaomba kusheherekea kwa amani.

Isome hapa taarifa kamili.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad