AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MSANII wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amesema watu wengi wanakwama kwa sababu hawapendi kusema ukweli badala yake wanakumbatia unafiki, jambo ambalo yeye hawezi kufa nalo. Katika mahojiano na Gazeti la Ijumaa Wikienda, Shilole alisema kama wanamuziki wangesema ukweli, basi kila mmoja angepata nafasi ya kufanya shoo kwenye matamasha ya wanamuziki wakubwa, lakini kwa kuwa wanaogopa ni ngumu kuendelea.
“Nilisema wazi kabisa kuwa WCB wanabagua wasanii kwenye tamasha lao la Wasafi, kama itawachukiza basi, lakini mimi siwezi kufa na unafiki,” alisema Sh ilole ambaye ni mama nt’ilie wa kishua.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK