AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Poshy aliliambia Gazeti la Ijumaa kuwa kipindi cha nyuma alipokuwa chuo alikuwa akifanya biashara zake za kuuza mikanda na nguo mbalimbali za kike na kiume na anaendelea nayo mpaka sasa na hafikirii kuiacha.
“Kuna watu wananiuliza ninawezaje kumpelekea mtu mzigo popote alipo wakati sasa hivi nimekuwa maarufu yaani jina langu ni kubwa, nimekuwa nikiwashangaa na kuwajibu kuwa jina kubwa bila kuwa na kipato chochote ni kazi bure kwa hiyo umachinga sitauacha kamwe maana ni kazi inayonilipa,” alisema Poshy.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK