''Siachi Umachinga Hata Iweje'' Poshy Queen

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MREMBO aliyejipatia jina kutokana na umbo lake, Jacqueline Obeid ‘Poshy’ ameibuka na kusema kuwa kamwe hawezi kuacha umachinga anaofanya kisa amepata umaarufu.

Poshy aliliambia Gazeti la Ijumaa kuwa kipindi cha nyuma alipokuwa chuo alikuwa akifanya biashara zake za kuuza mikanda na nguo mbalimbali za kike na kiume na anaendelea nayo mpaka sasa na hafikirii kuiacha.

“Kuna watu wananiuliza ninawezaje kumpelekea mtu mzigo popote alipo wakati sasa hivi nimekuwa maarufu yaani jina langu ni kubwa, nimekuwa nikiwashangaa na kuwajibu kuwa jina kubwa bila kuwa na kipato chochote ni kazi bure kwa hiyo umachinga sitauacha kamwe maana ni kazi inayonilipa,” alisema Poshy.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad