Tanasha onyo kali kwa Diamond Platnumz

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kutoka Instastory ya Tanasha, Mama kijacho wa msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, ambapo ameeleza kuwa anampenda baba wa mtoto wake lakini akiwa na mtu mwingine, hata kaa amshike tena. (Na baba wa mtoto wake huyo analijua hilo ❤)

Itakumbukwa, usiku wa kuamkia Ijumaa ndani ya Hoteli ya Best Western Coral Beach iliyopo Masaki jijini Dar, ilifanyika baby shower ya Tanasha Donna iliyokuwa maalumu kwa ajili ya kumkaribisha mwanae ajaye.

Shughuli hiyo ilihudhuliwa na watu wake wa karibu, pamoja na wadau mbalimbali na baadhi ya mastaa wa filamu na muziki nchini.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad