Tyson Ateketeza Mamilioni ya Pesa Kwenye Bangi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Tyson ateketeza mamilioni ya pesa kwenye bangi
Bondia maarufu Duniani Mike Tyson mwenye miaka 53 kwa sasa, amefunguka suala lake la kahamia katika biashara ya bangi pamoja na matumizi ya bidhaa hizo.


Licha kustaafu mchezo wa ngumi mwaka 2005, Bondia huyo amekuwa ni mtangazaji wa kipindi cha “Hotboxin with Mike Tyson” pamoja na mshirika mwenziye aitwaye Britton ambapo amesema, “huwa tunatumia kiasi cha Milioni 91 za Tanzania katika utumiaji na uvutaji wa bidhaa hizi za bangi, pia tunatumia tani 10 kwa mwezi kwenye bangi tu, ni bangi nyingi sana kila sekunde lazima tuwe nayo”.

Aidha Mike Tyson ameeleza kuwa ana shauku kubwa ya kuingia katika biashara hiyo ya bangi na tayari ameshanunua ekari 40 kwa ajili ya kuzalisha bidhaa hizo ambazo zitaitwa Tyson Ranch na itapatikana Jijini California.

Pia ameendelea kwa kusema wameshawekeza kiasi cha bilioni 1 katika kukuza, kuzalisha, kusambaza kutangaza biashara hiyo.

Watu wengine maarufu ambao wameingia katika biashara hiyo ya bangi niJay Z, Snoop Dogg, Wiz Khalif
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad