AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumzia hali hiyo, Katibu Mkuu wa Chama cha Alliency For Democratic Party (ADC), Doyo Hassan Doyo amesema kuwa kususia suala la uchaguzi sio sahihi.
Amesema kuwa ni lazima mapambano yaendelee kwani upinzani ungekata tamaa katika uchaguzi mkuu uliopita wa mwaka 2015 basi kusingekuwepo na wabunge wa upinzani kwasasa.
Aidha, amesema kuwa ni lazima wao kama wanasiasa kuendeleza mapambano hata kama wasipofaidika lakini historia itaendelea kuwakumbuka kwaajili ya vizazi vijavyo.
”Ni kupambana tu kufa na kupona uchaguzi unaokuja unaweza kuwa mgumu kuliko chaguzi zote kwani CCM imejipanga kuweka mapingamizi kwa wagombea, ambapo mtendaji kata au mkurugenzi akikubali matokeo ndio basi tena,”amesema Doyo
Kwa upnde wake, Naibu Katibu Mkuu Bara wa Chama cha ACT- Wazalendo, Msafiri Mtemelwa amesema kuwa kwa mazingira yaliyopo ni kama hakuna uchaguzi ila zinafanyika ili kuwaonyesha wafadhili kuwa kuna uchaguzi.
Naye Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Eugen Kabendera amesema kuwa uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu ni lazima upinzani ushiriki licha ya figisu zilizopo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK