AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika mazungumzo hayo pande mbili zimependekeza kushirikiana pamoja katika uwekezaji wa viwanda vya dawa na chanjo, kubadilishana wataalam wa afya ili kuwajengea uzoefu wataalam wetu katika nyanja mbalimbali za sekta nchini.
Pia, Waziri Ummy Mwalimu kwa pamoja wamekubaliana kwa pamoja kuendeleza mapambano ya Homa ya Ini aina C (Hepatitis C) ili kuhakikisha wananchi wanapatiwa huduma bora na kwa wakati kuhusu homa ya Ini aina C.
Baada ya majadiliano hayo Waziri Ummy Mwalimu aliagiza kuandaliwa kwa hati ya ushirikiano (MOU) kwa ajili ya kuratibu na kutekeleza maeneo mbalimbali ya kipaumbele katika sekyta ya afya nchini.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK