Video: Sababu ya wanawake wa kabila hili kutoboa midomo na kuweka visahani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Surma ni kabila linalopatikana nchini Ethiopia na Sudan ambapo katika kabila hili wanawake hutolewa meno ya mbele upande wa chini na kutobolewa mdomo wa chini ili kuwekwa visahani.

Utamaduni huo nchini huko ni urembo kwani jinsi mwanamke anavyokuwa na tundu kubwa mdomoni ndiyo jinsi thamani yake inavyozidi kuwa kubwa na kupelekea  kutolewa mahali kubwa zaidi kuliko yule mwenye kisahani kidogo mdomoni.

Mila na desturi za watu hawa kipindi cha mahali huwa ni ng’ombe ambapo mwanamke mwenye tobo kubwa mdomoni hutolewa idadi kubwa ya ng’ombe kulinganisha yule mwenye tobo dogo.

Na visahani hivi kwenye midomo yao  ya chini huvaliwa wakati wakiwaandalia waume zao chakula na wakati wa sherehe maalumu za kimila.

Katika historia utamaduni huu wa kutobolewa mdomo wa chini na kuwekwa visahani ulianza wakati wa biashara za utumwa ambapo wanawake walianza kutobolewa midomo na kuwekwa visahani ili wasiwavutie wanaume waliokuwa wanakuja kununua watu.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad