Wabongo 8 Wajizolea Tuzo za Maranatha Gospel Worship Nchini Kenya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



WAIMBAJI nane wa nyimbo za Injili nchini Tanzania akiwemo mwimbaji chipukizi, Abby Chams wameibuka washindi wa Tuzo za Maranatha Gospel Worship Music (MGWMA), zijulikananazo kama Maranatha Awards Eastern Africa.



Tuzo hizo ambazo zimefanyika jana usiku katika Ukumbi a Kimataifa wa Mikutano wa Kenyatta (K.I.C.C), jijini Nairobi na kuhudhuruwia na mamia ya watu wakiwemo wadau wa neno la Mungu na waimbaji wenyewe iliwakutanisha miamba mbalimbali wa tasnia hiyo katika vipengele mbalimbali.



Tuzo hizo zilihusisha nchi 9 zikiwa ni: Kenya, Uganda, Tanzania, Rwanda, Burundi, South Sudan, Ethiopia, Eritrea na Somalia.



Watanzania walioibuka washindi ni pamoja na;

Joel Lwaga (Male Minister of the Decade)

Angel Benard (Female Minister of the Decade)

Martha Mwaipaja (Exemplary Songwriter of the Decade)

Bahati Bukuku (Best Biblical Narration Songs)

Ambwene Mwasongwe (Missions Minister of the Decade)

Paschal Cassian (Master Piece Video Art Work of Excellence Victory) – Song: Ona Wanavyo Mwabudu

Paul Clement (Mani Worship Experienceawe Worship Event of the Year)

Abby Chams (Dr Myles Munroe Maranatha Purpose Driven Personality).

Miongoni mwa walioshindwa kunyakuwa tuzo hizo kwa upande wa Tanzania ni Goodluck Gozbert.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad