Yanga SC Yawasili Visiwani Zanzibar Mchana Huu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Yanga SC Yawasili Visiwani Zanzibar Mchana Huu
Wachezaji wa Timu ya Dar Es Salaam Young Afrika (Yanga SC)  wamewasili Mchana huu katika visiwa vya Zanzibar ambapo wanatarajiwa kucheza mchezo Miwili ya kirafiki katika kukamilisha ratiba za Tamasha la wiki ya wananchi.

Wachezaji  wa Timu hiya wameambatana na baadhi ya viongozi na Mashabiki wa timu  wakitokea jijini Dar es Salaam kwa boti ya Azam ambapo wametoka Dar Es Salaam saa tatu Asubuhi na kufika majira ya Saa tano visiwani humo.

Mara baada ya kuwasili kwa wachezaji hao baadhi ya wapenzi wa soka na wapenzi wa clabu hiyo wamejitokeza katika Bandari ya Malindi kuwapokea wachezaji wa timu hiyo na kuwasindikiza hadi katika hotel ya Uwanja wa Amani ambapo wamefikia timu hiyo.

Yanga sc anatarajia kecheza michezo wa kwanza halo kesho  Juma Tano na Timu ya Mlandege Fc na siku ya Alhamis na Timu ya Malindi SC.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad