AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bi. Sheila amesema hayo kando ya hafla ya mahafali ya wanafunzi wa Taasisi ya Sayansi ya Afya, na kuongeza kuwa wizara ya afya nchini humo imeweka vituo vya ukaguzi wa Ebola kwenye mpaka wake na Malawi na Tanzania, uwanja wa ndege wa kimataifa na bandari za kitaifa.
Amesema watu wanaoshukiwa kuwa na maambukizi ya Ebola wamewekwa karantini kwa ajili ya uchunguzi zaidi wa kiafya, lakini hadi sasa hakuna mtu yeyote anayeshukiwa kuwa na Ebola aliyeingia nchini humo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK