Arsene Wenger atangaza kurejea, achoshwa kuwa mbali na soka ”Kamwe sitoendelea kuwa benchi tena”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Aliyekuwa kocha wa klabu ya Arsenal, Arsene Wenger amesema kuwa yupo tayari kurudi tena katika kufundisha mchezo wa soka baada ya kujiweka mbali nao kwa muda sasa, huku akisisitiza ameshachoka kukaa benchi.

Arsene Wenger says he 'cannot live' with the idea of never managing a football club again

Wenger mwenye umri wa miaka 69 aliachana na kufundisha soka mwezi Mei 2018 baada ya kuitumikia Arsenal kwa miaka 22.



Mfaransa huyo ambaye kwa sasa anahisi kama kutengwa na washika mitutu wa London, the Gunners ameona kuwa ni vigumu kuzikataa tena ofa ambazo analetgewa mezani kwake na sasa yupo tayari kurejea baada ya kupita 16 akiwa nje ya maisha ya soka.



Mfaransa huyo, ambaye mwishowe anahisi ‘ametengwa’ kutoka kwa Washika bunduki, ameona ni ngumu kukataa zawadi kurudi kwenye mgawo kwa zaidi ya miezi 16 iliyopita.



Kupitia mahojiano yake na beIN SPORTS, Wenger amesema hawezi tena hii leo kushindana na ukweli hivyo kamwe hawezi kuendelea tena kuwa benchi.



”Siwezi kuishi hii leo na ukweli kwamba sitoendelea kuwa benchi tena, nitarudi kwenye nafasi yangu ya kufundisha hivi karibuni.” Amesema Mzee Wenger.



”Ninachohitaji kwa hakika ni kushirikisha kile ninachokijua na nilichojifunza kwaajili ya watu wengine. Ningelipenda kupata uzoefu kwa mara yangu ya mwisho.”



Arsene Wenger  ameongeza ”Sikuwahi kufikiria kama ningeondoka pasipokuwa hata na mawasiliano na klabu, lakini nilitaka kujiwekeza mwenyewe katika maisha yangu.”



Wenger ameiyongoza Arsenal kwa kutwaa mataji matatu ya Premier League ikiwa ni pamoja na kuweka historia msimu wa mwaka 2003/04 kwa kumaliza msimu pasipo kupoteza.



Kocha huyo pia amewapatia Arsenal mataji saba ya FA Cup huku akisistiza kuwa kwa sasa amejiwekezea mwenyewe tangu kuonda katika klabu hiyo inatopatika Kaskazini mwa jiji la London.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad