Banda Aongeza Miaka Miwili Highlands Park

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mchezaji raia wa Tanzania Abdi Banda anayecheza nchini Afrika Kusini amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia timu yake ya  Highlands Park inayoshiriki ligi kuu ya nchi hiyo.

Banda ambaye anacheza nafasi ya mlinzi wa kati mshahara wake utakuwa ni rand 150,000  ambazo ni zaidi ya Sh Milioni 24 za Kitanzania.

Kabla ya kusaini ‘dili’ hilo, Banda alikuwa anakipiga Baroka FC ya Afrika Kusini ambayo aliachana nayo baada ya mkataba wake kumalizika.

Ikumbukwe beki huyo kabla ya kutua Baroka  alikuwa akiichezea Simba SC ambayo ilimsajili kutokea Coastal union ya Tanga.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad