AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
UNAAMBIWA Haya ndio Mataifa yanayotajwa kuongoza Duniani kwa kuwa na Hifadhi kubwa ya Dhahabu;
10.India
9.Uholanzi
8.Japan
7.Switzerland
6.China
5.Urusi
4.France
3.Italy
2.Ujerumani
1.Marekani
Afrika tunafeli wapi, ukizingatia hizo dhahabu zinatoka afrika kwa kiasi kikubwa
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Waulizeni waMishonari tunao wapa Ardhi
ReplyDeleteVijijini kutujengea hospitali na shule na Madhabaho.
Namkumbuka Franz Backnbeur sehemu za Chunya na kUsini kwa ujumla wake.
Asingekuwa Baba JPM hata ACACIA Na wenzao wangeendelea kuchota tu.
Jibu tunalo.
Na tulipo kosea tunapajua ni UBINAFSI
NA KUKOSA UZALENDO MOYONI.
Je unajua The Mpwapwa Rhodes..?
ReplyDeleteDuniani na Wiza Ruby..??
Zinaondoka kinyemela kila Siku.
Unajua Zinapatika wapi.