Barca yamkazia Messi, kumpa mkataba mpya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Klabu ya Barcelona ya Uhispania, inatarajia kumtia kitanzi kingine mshambuliaji wao hatari kwa kutupia Lionel Messi mwenye umri wa miaka 32.

Mabosi wa klabu hiyo wanataka kumuongezea mkataba ambao utambakiza Messi ndani ya Neo Camp kwa miaka iliyosalia ya soka lake.

Rais wa Barcelona Jose Maria Bartomeu amesema kuwa, Messi anatarajia kumaliza mkataba wake na utamruhusu yeye kuondoka Barcelona bure.

Barcelona wanaamini kuwa watambakiza nyota huyo hadi 2022 na baada ya hapo sasa ataruhusiwa kuondoka Neo Camp. Inadhaniwa kuwa huenda nyota huyo atarudi kucheza nchini kwao Argentina kunako klabu yake ya zamani ya utotoni Newll's Old Boys kabla ya kustaafu kandanda.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad