Bondia Achakazwa Hadi Kukimbizwa Hospitali

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Bondia Muingereza Tyson Fury amekiona cha mtema kuni na kukimbizwa hospitali baada ya kujeruhiwa kwa kuchakazwa kwa ngumi kali na mpinzani wake, Mswidishi Otto Wallin katika pambano la uzito wa juu kwenye ukumbi wa T-Mobile Arena mjini Las Vegas, Marekani.

Hata hivyo, Fury alishinda kwa pointi pambano hilo la raundi 10 na kuendeleza rekodi yake ya kushinda mapambano yake yote 30 ingawa baada ya mchezo huo alikimbizwa hospitali kwa matibabu na kushindwa kuzungumza na Waandishi wa Habari.

Fury anatarajiwa kurejea ulingoni Februari 22 mwakani kwa pambano la marudiano na Deontay Wilder hapo hapo Las Vegas.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad