AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa muziki kutoka Nigeria, Burna Boy ameeleza kuwa gari lake la gharama la kwanza kununua ilikuwa Range Rover.
Burna Boy akiwa na umri wa miaka 17 alinunua haina hiyo ya gari ambalo baadae lilichukuliwa na Polisi.
Katika Mahojiano na Worldstar, Burna alieleza kwa ufupi kuwa Umri wake huo kwa kipindi hicho ni moja ya sababu iliyopelekea gari lake hilo kuchukuliwa siku tatu baadae.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK