AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Basi la Mwendokasi lililokuwa likitoka Kariakoo kuelekea Kimara linateketea kwa moto usiku huu eneo la Kimara baada ya kushika moto na kuungua wakati likiwa safarini.
Baadhi ya abiria wamesema walianza kusikia harufu ya moshi mapema wakiwa kituo cha Manzese lakini hawakuhofia maana gari liliendelea na safari.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK