Hotuba ya Rais Magufuli Yamgusa RC Makonda, Meya Kinondoni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


“Changamoto ni nyingi katika kuongoza nchi hii, juzi nilikuwa kwenye ziara ya Dar es Salaam, mambo ya hovyo yanafanyika, nimeenda kwenye machinjio jengo la ghorofa moja linajengwa kwa Tsh. Bilioni 14 na nimekuta watu watatu sijui wanne, huwezi ukaamini kuna Viongozi katika Mkoa huu” – JPM



“Baada ya kutembelea machinjio ya Vingunguti, siku moja baadae nimeona kwenye TV Meya anakwenda kumkabidhi Mkandarasi site, ni mambo ya ajabu, Meya na kukabidhi site kwa Mkandarasi ni wapi na wapi? Mkandarasi mwenyewe ni yule aliyejenga soko la Mwanjelwa na akashindwa”- JPM
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad