Jeshi la Polisi Latumia Mabomu ya Machozi Kuwatawanya Wanafunzi Chuo cha Ualimu Moshi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Jeshi la Polisi limezuia maandamano ya wanafunzi zaidi ya 400 wa Chuo cha Ualimu Moshi kilichopo wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, kisha kuwakamata baadhi yao baada ya kufunga barabara wakishinikiza serikali kuingilia kati sakata la utapeli wa zaidi ya milioni 75 za malipo ya ada.


Shinikizo hilo linachukuliwa na Wanafunzi hao baada kuzuiliwa kuingia kwenye chumba cha mtihani kutokana na Malipo yao ya Ada waliyolipa kupitia Benki  kutoonekana kwenye account  ya chuo hicho


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Tatizo la nchi hii watoto wa masikini hawathaminiwi kabisa hata wasiposoma kuna baadhi ya watu wanaona sawa tu, hao wanafunzi ilitakiwa wasikilizwe madai yao si kupigwa mabomu ya machozi, madai yao ni ya msingi kwa sababu wamelipa ada lakini malipo yao hayaonekani kwenye akaunti ya chuo hicho kwa maana hizo hela zimechukuliwa na watu ambao hawana hata hofu ya Mungu.

    ReplyDelete

Top Post Ad