AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jeshi la Polisi limezuia maandamano ya wanafunzi zaidi ya 400 wa Chuo cha Ualimu Moshi kilichopo wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, kisha kuwakamata baadhi yao baada ya kufunga barabara wakishinikiza serikali kuingilia kati sakata la utapeli wa zaidi ya milioni 75 za malipo ya ada.
Shinikizo hilo linachukuliwa na Wanafunzi hao baada kuzuiliwa kuingia kwenye chumba cha mtihani kutokana na Malipo yao ya Ada waliyolipa kupitia Benki kutoonekana kwenye account ya chuo hicho
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Tatizo la nchi hii watoto wa masikini hawathaminiwi kabisa hata wasiposoma kuna baadhi ya watu wanaona sawa tu, hao wanafunzi ilitakiwa wasikilizwe madai yao si kupigwa mabomu ya machozi, madai yao ni ya msingi kwa sababu wamelipa ada lakini malipo yao hayaonekani kwenye akaunti ya chuo hicho kwa maana hizo hela zimechukuliwa na watu ambao hawana hata hofu ya Mungu.
ReplyDelete