AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
John Bocco mpaka sasa hajafanikiwa kucheza mchezo wowote wa Ligi Kuu Bara kutokana na majeraha aliyoyapata wakati wa mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Azam FC.
Kagere ameliambia Championi Jumatano kuwa, japokuwa Simba ina wachezaji wengi katika safu ya ushambuliaji, lakini kukosekana kwa nyota huyo ni pigo kwake kwani ana msaada mkubwa katika eneo la ushambuliaji.
“Simba ina wachezaji wengi sana wazuri ambao wanaweza kucheza katika eneo la ushambuliaji, lakini kukosekana kwa nahodha wetu John Bocco katika michezo iliyopita imetupunguzia vitu kama muunganiko mzuri ambao yeye akiwepo huchangia upatikanaji wa mabao mengi,” alisema.
Kagere mpaka sasa kwenye mechi mbili za ligi amefunga mabao matatu ambapo mawili aliyafunga walipoifunga JKT Tanzania mabao 3-1, kisha katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Mtibwa, alifunga moja.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK