Jokate Atoa ya Moyoni Followers mil. 5

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MKUU wa Wilaya ya Kisarawe, Jokate Mwigelo amefurahishwa na idadi ya wafuasi kwenye ukurasa wake wa Instagram kuongezeka hadi kufikia milioni 5.  Akizungumza na Amani, Jokate alisema amekoshwa sana na wananchi kumkubali kiasi hicho ambapo anawaahidi kuwatumikia kwa moyo wake wote kwenye eneo lake pamoja na Watanzania kwa ujumla.

“Ukweli nimefurahishwa sana na wananchi, kufikisha watu milioni 5 sio mchezo jamani, nawaomba wazidi kuni-support kwani ndoto yangu ni kutumikia wananchi kwa moyo na uwezo wangu wote,” alisema Jokate
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad