AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkurugenzi wa mashtaka nchini (DPP), Biswalo Mganga amesema ofisi yake ipo tayari kutekeleza agizo la Rais Dk. John Magufuli aliyempa siku saba kuzungumza na mahabusu wanaokabiliwa na makosa ya uhujumu uchumi na endapo wakitubu na kueleza fedha zilipo wasamehewe na kuachiwa huru kwa mujibu wa sheria.
Akizungumza na JAMVI LA HABARI leo Septemba 23 DPP Mganga amesema jambo hilo linawezekana endapo mshtakiwa mwenyewe anatakiwa kuiandikia ofisi yake barua kupitia kwa Mkuu wa Gereza ambapo ametoa muongozo wa namna gani washtakiwa wa uhujumu uchumi wanaosota mahabusu wanatakiwa kufanya ili waachiwe huru.
Amesema mshitakiwa awe tayari na akiri mwenyewe kulipa hasara anayodaiwa ili aachiwe huru; “Utaratibu ni kwamba, mtuhumiwa mwenyewe aliyekuwepo mahabusu anatakiwa aniandikie barua kupitia kwa mkuu wa gereza akikiri kosa na kuomba kutubu haraka iwezekanavyo na sisi tutachukua hatua.”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK