Kenya Airways kutaifishwa mwishoni wa mwaka huu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Serikali ya Kenya ina mpango wa kutaifisha shirika la ndege la Kenya Airways ifikapo mwishoni wa mwaka huu ili kuongeza ushindani wake, maafisa walisema Jumanne.

Afisa mkuu mtendaji wa Kenya Airways,Sebastian Mikosz aliwaambia waandishi wa habari jijini Nairobi kwamba washindani wake wote wa kikanda na kimataifa pia wanamilikiwa na serikali zao na kupata faida zaidi.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad