AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Mboya ndiye mmoja kati ya rafiki zangu ambao
Salim Kikeke ameteuliwa kuwa balozi wa Simba SC wa jiji la London nchini Uingereza katika tukio hilo mtangazaji huyo alikabidhiwa jezi na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Mohammed Dewji.
Kikeke ni mtangazaji maarufu na mwenye kujadiliwa kila uchao huku umaarufu wake ukiwa sio tu Tanzania bali ni maeneo mengi ya Dunia hasa kunakozungumzwa lugha hadhimu ya Kiswahili.
Salim ni Mtanzania anayetangaza vipindi mbalimbali katika shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), huku safari yake ikianzia katika kituo cha TV cha CTN ambacho kilikuwa na radio kwa wakati huo ikifahamika kama Classic FM ambayo kwa sasa ni Magic FM.
Kisha Radio Tanzania (RTD) ambapo kwa sasa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kisha kuamia ITV na Radio One na ndipo Mwezi Mei 2003 akajiunga rasmi na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC).
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK