Kuna Anguko la Vijana wa Kiume Kwenye Mahusiano? Wanakosea Wapi?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kuna hali inarudi kwa kasi mno... Wazee kuoa mabinti wadogo sawa na watoto wao ama hata wajukuu

Kipindi cha nyuma walijulikana kama wazee wa bandari lakini hawa hawakuwa waoaji bali waliwaweka tu vimada kwa kuwqpangishia chumba, upande mzima ama nyumba kamili...
Siku hizi hiyo haipo tena... Mzee akifika bei binti anataka ndoa... Japo kiuhalisia mzee anaibiwa tuu...

Wadogo zetu mko wapi? Mnakosea wapi?

Mnajichua sana, show off nyingi, six packs na kujipodoa kwingi.... Kwa mwanamke mapenzi ni zaidi ya hivyo vitu...
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad