Dudu Baya Ataja Njia Mpya ya Kujikinga na UKIMWI

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Dudu Baya amewataka Watanzania wasome biblia na kufuata amri 10 za Mungu kama njia ya kujinusuru na ugonjwa wa UKIMWI.


Dudu Baya akiongea na bongo5, amesema kuwa kama mtu atazingatia na kuzifuata amri hizo, Basi hawezi kupata UKIMWI.

Kwenye amri hizo, Amri ya sita inasema “USIZINI” na ndio ambayo Dudu Baya amesema endapo utazitii amri zote huwezi kupata UKIMWI.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad