AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kabendera ambaye ni mwandishi wa habari za ndani na nje ya Tanzania alifikishwa Mahakamani hapo kwa mara ya kwanza Agosti 5, 2019 akikabiliwa na mashtaka matatu, ambayo ni kuongoza genge la uhalifu, kukwepa kodi na kutakatisha zaidi ya Sh173.2 Milioni
Leo Alhamisi Septemba 12,2019, wakili wa utetezi, Jebra Kambole amedai mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Agustine Rwizile baada ya Wakili Mwandamizi wa Serikali Wankyo Saimon kueleza upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika.
“Mteja wetu ni mgonjwa mpaka sasa anashindwa kutembea vizuri mguu wa kulia umepooza na anashindwa kupumua vizuri hasa usiku.”
"Mteja wetu angepata vipimo vizuri, tunaiomba Mahakama kuielekeza idara ya magereza wampe fursa ya kupatiwa matibabu hospitali yoyote ya serikali na sisi mawakili tujue anaumwa nini," amedai Wakili Kambole
TAZAMA WIMBO MPYA WA ROSA REE
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK