Mambo Ambayo Yanawakera Wanawake Waliopo Katika Mahusiano ya ndoa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Yafutayo ndiyo mambo ambayo wanawake huwa wanakereka sana wanapofanyiwa na wanaume zao katika suala la mahusiano, Japo wanaume wengi huwa  hawawazi kama wanayofanya huenda wakawa wanawakosea wake zao. Ila wanaume ambao wanasoma makala haya pindi utakaposoma  makala hii unatakiwa kubadilika mara moja ili usiwe unamkwaza mkeo kwa makusudi.

Yafuatayo ndiyo mambo wanawake wengi huwa yanawakera wawapo katika mahusiano:
1. Mwanaume mwenye madaraka kuyapeleka madaraka hayo mpaka  nyumbani kwake.

2. Wake kuwajibika na mambo ya nyumbani kwa vile wana mishahara minono.

3. Wababa kutotenga muda wa kutosha kukaa na wake zao ili kuongea yanayowahusu

4. Mume kumwachia mke kulea watoto hasa wakati wa usiku

5. Mume kutomtia moyo mke wakati wa ujauzito

6. Mume kumchanganya mama na watoto wa kike wanapokosa

7. Mume kutokuwa na maandalizi mazuri wakati wa kukutana kimwili na mkeo

8. Mume kujijari mwenyeweMume kusaidia ndugu zake bila mke wake kujua

9. Mume kubagua watoto

10. Mume kuwa na upendo na ukaribu au kucheka na binti waishio nao huku yupo mke wake

11. Mume kutomtazama mkeo usoni mkiwa chumbani.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad