Mboni Masimba aolewa na Tajiri

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mrembo na mtangazaji wa muda mrefu nchini, Mboni Masimba amefunga ndoa leo na mpenzi wake Ally Tajiri, ambaye sasa amekuwa mume wake.


Ndoa hiyo imefungwa kwa siri leo Septemba 6, 2019, Masaki jijini Dar es salaam na kuhudhuria na marafiki wa karibu wa Mboni.

Mpenzi wake huyo anayefahamika kwa jina la Ally Tajiri, imeelezwa kuwa muda mwingi anaishi nchini Uingereza, hivyo kuna uwezekano mkubwa wa Mboni kuhamia nchini humo kwaajili ya kuanza maisha ya ndoa na familia.





----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad