Yanga watoa mapingamizi kufungiwa kwa kocha wao Zahera

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Zikiwa zimepita siku tatu tangu bodi ya ligi kuu Tanzania bara itangaze kumfungia mechi tatu kocha wa Yanga Mwinyi Zahera kwa kosa la kutoa shutuma na kejeli kwa bodi hiyo baada ya mechi yao dhidi ya Ruvu Shooting, leo uongozi wa timu hiyo umetangaza kupeleka malalamiko kwa wizara ya michezo kupinga maamuzi hayo.

Yanga kupitia Makamu Mwenyekiti wao Fredrick Mwakalebela wamesema adhabu ya kumfungia kocha wao mechi tatu ni kubwa na kupendekeza angepewa faini tu.

Pia Yanga wamelalamika kitendo cha kocha wao Mwinyi Zahera kupigwa wa faini ya Tsh 500,000 kwa kuvaa mavazi yasiyo nadhifu, huku kocha msaidizi wa Ruvu Shooting kutopewa adhabu licha kutovaa mavazi rasmi.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad