Mchekeshaji Kevin Hart Apata Ajali Mbaya ya Gari

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kwa mujibu wa vyanzo vya habari nchini Marekani vimeripoti kuwa Kevin alikuwa akijaribu kukwepana na gari jingine na hatimaye gari lake kuacha njia na kuangukia katika eneo la karibu na Maliba Hills California nchini Marekani. Hali ya kiafya ya mchekeshaji huyo ni nzuri na bado anaendelea kupatiwa matibabu.

Kevin Hart ameripotiwa kuumizwa vibaya mara baada ya kupata ajali mbaya ya gari jana Jumapili. Mtandao wa TMZ umeripoti kuwa Hart alikuwa akiendeshwa, ghafla dereva wake alishindwa kulimudu gari hilo na kuparamia kingo ya barabara mjini Malibu Hills.

Polisi wametanabaisha kuwa kulikuwa na watu wengine wawili kwenye gari. Pia Hart na dereva wake wameumia zaidi maeneo ya mgongo. Moja ya watu wake wa Ulinzi walimkimbiza nyumbani lakini baadaye alifikishwa hospitali kwa matibabu.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad