AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kevin Hart ameripotiwa kuumizwa vibaya mara baada ya kupata ajali mbaya ya gari jana Jumapili. Mtandao wa TMZ umeripoti kuwa Hart alikuwa akiendeshwa, ghafla dereva wake alishindwa kulimudu gari hilo na kuparamia kingo ya barabara mjini Malibu Hills.
Polisi wametanabaisha kuwa kulikuwa na watu wengine wawili kwenye gari. Pia Hart na dereva wake wameumia zaidi maeneo ya mgongo. Moja ya watu wake wa Ulinzi walimkimbiza nyumbani lakini baadaye alifikishwa hospitali kwa matibabu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK