AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Faiza ametoa kauli hiyo ikiwa ni muda mchache baada ya Mbunge Sugu kufunga ndoa na mkewe Happines Msonga, ambapo kupitia mtandao wake wa Instagram, amesema licha ya Sugu kuoa bado ana mapenzi na yeye.
“Kuna mtu anayenipenda sana alinipa ratiba nzima mwezi mmoja kabla ya ndoa na kabla ya hapo nilijua kama wataoana ila siku ya tukio ni siku ya tofauti, hata mwanzoni nilipotaka kufanya jambo nilijikuta nakosa hisia za kufanya kwa sababu sina tena majonzi juu ya baba Sasha,”amesema Faiza.
Ameendelea kusema, “nikimwangalia baba Sasha na mke wake sioni mtu wa kuniliza na najiuliza nilikosea wapi, kwa sababu nilikuwa mpenzi bora, nilikuwa mama bora kwahiyo sijapata mwanaume tu wa kunielewa mimi. Anaoa lakini najua bado ananipenda mimi”.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mmh! Mmh! Maandiko matakatifu yanasema : 'Ndoa na iheshimiwe na watu wote' 'Apatae mke apata kitu chema' 'enyi waume wapendeni wake zenu...' 'toka mwanzo Mungu aliumba mtu mke na mtu mume, wawili hao wataambatana na kuwa kitu kimoja' 'aliowaunganisha Mungu, binadamu asiwatenganishe'
ReplyDeleteSorry sio kitu kimoja Bali wataambatana na watakuwa mwilini mmoja
ReplyDelete