Mwarabu Fighter “Nilianza kupata hela baada ya kuachana na Diamond"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Aliyewahikuwa Bodygurd wa Diamond Platnumz Mwarabu Fighter amefunguka mengi kuhusu maisha yake ya sasa na yale maisha aliyoishi wakati akifanya akzi na Diamond Platnumz.



Akipiga stori na Bongo5 Mwarabu Fighter amesema kuwa:- ” Nilipoancha kazi nilihangaika sana maana sikuwa na hata sent mia, mke wangu aliuza genge mtaani ili tupate chochote, Vijana wengi wajifunze kupitia kwangu. mimi niliishi ili kulinda Brand ya Diamond haliyakuwa mfukoni sina kitu, niliishi ili niendane na Brand ya msanii mkubwa lakini katika nafsi yangu nilimia sana, Wakati huo sikuwa na gari wala pikipiki wala chombo chochote cha usafiri lakini nilikuwa napanda magari ya kulipi” Mwarabu aliongeza “Mshahara wangu haukutosha hata kwa wiki mbili lakini sikuwa na namna”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Kwani diamond analipa bei gani wafanyakazi wake?!

    ReplyDelete

Top Post Ad