AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akipiga stori na Bongo5 Mwarabu Fighter amesema kuwa:- ” Nilipoancha kazi nilihangaika sana maana sikuwa na hata sent mia, mke wangu aliuza genge mtaani ili tupate chochote, Vijana wengi wajifunze kupitia kwangu. mimi niliishi ili kulinda Brand ya Diamond haliyakuwa mfukoni sina kitu, niliishi ili niendane na Brand ya msanii mkubwa lakini katika nafsi yangu nilimia sana, Wakati huo sikuwa na gari wala pikipiki wala chombo chochote cha usafiri lakini nilikuwa napanda magari ya kulipi” Mwarabu aliongeza “Mshahara wangu haukutosha hata kwa wiki mbili lakini sikuwa na namna”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kwani diamond analipa bei gani wafanyakazi wake?!
ReplyDelete