AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ajali hiyo imetokea saa 1:30 asubuhi ambapo ilikuwa ikiruka kutoka Serengeti kwenda Arusha baada ya kushusha watalii.
Katika ajali hiyo, rubani na abiria mmoja wamefariki dunia.
Kamishna Msaidizi mwandamizi wa shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa), Pascal Shelutete amethibitisha kutokea ajali hiyo.
“Tunatoa taarifa zaidi baadaye kwani sasa kazi inayoendelea ni kuokoa vitu na kuhifadhi miili,” amesema.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, wamedai kuwa ndege hiyo iligonga katika jengo la choo cha zamani na kuanguka huku wakieleza kuwa rubani wa ndege hiyo anmayesadikiwa kufariki anajulikana kwa jina moja la Nelson.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK