AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanasiasa wa upinzani nchini Tanzania, Tundu Lissu, amebadili tarehe yake ya kuja nchini baada ya kuarifiwa kuwa daktari wake kusema anataka kumuona Oktoba 1 mwaka huu.
Kipindi cha nyuma Lissu alidokeza kuwa atarudi Septemba 7 ambayo itakuwa ni Jumamosi ya wiki hii, hata hivyo Lissu sasa anasema bado anasubiri kupata ridhaa ya madaktari wake iwapo anaweza kurudi nyumbani.
"Nilisema mwanzoni kwamba nitarudi tarehe 7 septemba ya mwaka huu ambayo ni Jumamosi ya keshokutwa lakini mpaka sasa hivi sijapata ruhusa ya madaktari wangu, dakari wangu ameniambia ataniona tarehe 1 Oktoba na kwa mara ya mwisho ataniona tarehe 8 Oktoba," amesema Lissu.
"Kwahiyo hii tarehe ya mwisho ya 7 Oktoba haitawezekena kwasababu daktari wangu anahitaji kuniona kwenye hizo tarehe 2 baada ya hapo ntafanya utaratibu wa kurudi nyumbani."
Septemba 7 ni miaka miwili tangu Lissu kushambuliwa na watu wasiojulikana huko Jijini Dodoma.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK