Tundu Lissu Abadili Tarehe ya Kurudi Tanzania

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwanasiasa wa upinzani nchini Tanzania, Tundu Lissu, amebadili tarehe yake ya kuja nchini baada ya kuarifiwa kuwa daktari wake kusema anataka kumuona Oktoba 1 mwaka huu.

Kipindi cha nyuma Lissu alidokeza kuwa atarudi Septemba 7 ambayo itakuwa ni Jumamosi ya wiki hii, hata hivyo Lissu sasa anasema bado anasubiri kupata ridhaa ya madaktari wake iwapo anaweza kurudi nyumbani.

"Nilisema mwanzoni kwamba nitarudi tarehe 7 septemba ya mwaka huu ambayo ni Jumamosi ya keshokutwa lakini mpaka sasa hivi sijapata ruhusa ya madaktari wangu, dakari wangu ameniambia ataniona tarehe 1 Oktoba na kwa mara ya mwisho ataniona tarehe 8 Oktoba," amesema Lissu.

"Kwahiyo hii tarehe ya mwisho ya 7 Oktoba haitawezekena kwasababu daktari wangu anahitaji kuniona kwenye hizo tarehe 2 baada ya hapo ntafanya utaratibu wa kurudi nyumbani."

 Septemba 7 ni miaka miwili tangu Lissu kushambuliwa na watu wasiojulikana huko Jijini Dodoma.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad