Wafungwa 130 wahofiwa kuuawa Yemen

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wafungwa 130 wanahofiwa kuuawa katika shambulizi la anga lililoongozwa na Saudi Arabia katika gereza la Yemen.

Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu ICRC limesema, wafungwa takriban 130 wanahofiwa kuuawa katika shambulizi la anga lililoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya gereza la mkoani Dhamar, Yemen.

Kwenye taarifa yake kundi la Houthi limesema, wafungwa waliouawa ni askari wa serikali ya Yemen ambao walikamatwa kwenye mapambano.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad