Rais Magufuli kukutana na Watendaji wa Kata Ikulu leo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli leo atakutana na Watendaji wa Kata wa nchi nzima katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Watendaji wa Kata wote wataingia Ikulu kupitia lango la mashariki (baharini) na mkutano utaanza saa 3:30 asubuhi. Taarifa ya Kurugenzi Mawasiliano Ikulu imeeleza hivyo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad