Yanga Yamtangaza Afisa Habari Wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Klabu ya Yanga, leo Septemba 19, 2019 imemtangaza rasmi ndugu Hassan Bumbuli kuwa Afisa Habri na mawasiliano wa klabu hiyo.

Taarifa hiyo iliyotolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Yanga, Dismas Ten, imesema kuwa Mwenyekiti wa klabu, Dkt. Mshindo Msolla amemteua Hassan Bumbuli kwa kushirikiana na Kamati ya Utendaji.

Aidha katika hatua nyingine, Dkt. Msolla pamoja na Kamati ya Utendaji wamemtangaza rasmi ndugu Antonio Nugaz kuwa Afisa Mhamasishaji wa klabu hiyo.

Soma taarifa rasmi ya klabu hapa chini.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad